- Thread starter
- #21
kwelam sitengenez mimi ninaweza kukuconect na muhusika njoo tuyabuild inUSHAURI
Tumia picha za aquarium yako ili wateja tuone kile ulichonacho hizo picha za kuziokota mitandaoni inafanya wengi wetu tupate mashaka na ukizingatia wahitaji wapo pia nje ya Dar.