Nauza samaki kutoka Mwanza

Nauza samaki kutoka Mwanza

William chacha

New Member
Joined
Nov 8, 2017
Posts
4
Reaction score
0
Natoa samaki toka mwanza naleta dar es salaam nauza kwa bei ya jumla na rejareja, samaki aina ya sangara na sato napatikana kitunda. Kwa maelezo zaidi nicheki kwa namba 0745703651.Na wale mnaokaa mikoani nicheki kwa hiyo namba
 
Mimi naliuza Bucha langu la samaki lipo Dodoma... Kwa yeyote anae hitaji biashara hii anicheck.. Limekamilika kila kitu.. Nauza kwa sababu naamishwa kikazi.. Hivyo kuanzia January nnaweza nisiwepo Dodoma
 
Mimi naliuza Bucha langu la samaki lipo Dodoma... Kwa yeyote anae hitaji biashara hii anicheck.. Limekamilika kila kitu.. Nauza kwa sababu naamishwa kikazi.. Hivyo kuanzia January nnaweza nisiwepo Dodoma
Mawasiliano.....
 
Mimi naliuza Bucha langu la samaki lipo Dodoma... Kwa yeyote anae hitaji biashara hii anicheck.. Limekamilika kila kitu.. Nauza kwa sababu naamishwa kikazi.. Hivyo kuanzia January nnaweza nisiwepo Dodoma
Unaweza nisaidia kupata wateja uko Dodoma kabla hujaondoka
 
Back
Top Bottom