General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,316
- 23,186
Ni barber shop ya ukweli, ipo morogoro mjini, mpya ina miezi 3
unaweza kuhiamisha kwenda utakako.
1.ina viti viwili vya kisasa,
2. vioo vya kujiangalia 5
3. mashine original 2
4.sterilizer
5. feni ya juu
6. sofa la watu wa 3
7.mlango wa aluminium futi 7x6.7 na vioo vya tinted
8. kwa kifupi ni saloon iliyokamilika ambayo ukiichukua unanza kazi hakuna haja ya kununua vitu vingine.
BEI MILION 3, MAONGEZI KIDOGO
nimeiuza baada ya kuhamishwa kazi mkoa wa arusha,
tuwasiliane....
unaweza kuhiamisha kwenda utakako.
1.ina viti viwili vya kisasa,
2. vioo vya kujiangalia 5
3. mashine original 2
4.sterilizer
5. feni ya juu
6. sofa la watu wa 3
7.mlango wa aluminium futi 7x6.7 na vioo vya tinted
8. kwa kifupi ni saloon iliyokamilika ambayo ukiichukua unanza kazi hakuna haja ya kununua vitu vingine.
BEI MILION 3, MAONGEZI KIDOGO
nimeiuza baada ya kuhamishwa kazi mkoa wa arusha,
tuwasiliane....