castieltsar
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 1,813
- 3,259
Hisabati..hahaUkubwa unamaanisha radius au mzingo?
Itakuwa diameter aka kipenyo kiongoziUkubwa unamaanisha radius au mzingo?
Ni kwa diameter mkuuUkubwa unamaanisha radius au mzingo?
Tiyariongeza mapicha picha boss
Hiyo ya juu mbon imevunjika au ndo ilivyo?
Ilikuwa ndo style yake bossHiyo ya juu mbon imevunjika au ndo ilivyo?
Uko mkoa gani mkuu?Ni nzuri, lkn hamharibu rangi? Vipi mikoani tunafanyaje?
Mkuu unauza sh ngapi Mimi nichukueUko mkoa gani mkuu?
Ni laki moja mkuu,karibu sanaMkuu unauza sh ngapi Mimi nichukue
Upo juu SanaNi laki moja mkuu,karibu sana
Ndo thamani yake mkuu nakutengenezea kwa design unazopenda wewe ila kuna ndogo yake kwa elfu sabini imekuwa imepungua tu udogo ila design na quality ni ileileUpo juu Sana
Ebu nitumie WhatsApp no hii 0764736062Ndo thamani yake mkuu nakutengenezea kwa design unazopenda wewe ila kuna ndogo yake kwa elfu sabini imekuwa imepungua tu udogo ila design na quality ni ileile
Sawa mkuuEbu nitumie WhatsApp no hii 0764736062