Nauza rice cooker l

Nauza rice cooker l

vumiliag

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2018
Posts
418
Reaction score
770
SOLD
Nauza rice cooker litre 1.8 imetumika muda mchache
Inapatikana kimara mwisho (dar)
0692669235

Bei 45000
IMG_20190909_125801.jpeg
IMG_20190909_125757.jpeg
IMG_20190909_125655.jpeg
 
Nakuongezea dau lamba 21,000 fasta kabla sijaipiga serenget lager
 
Zilikua mbili ivyo nabaki na moja pia napenda kutumia mkaa kupika wali ivyo huwa zipo ndani tu maana nlikua nazitumia nikiwa chuo
Basi sawa mkuu, na kwakuwa tayari umemaliza chuo na mimi nilisha maliza kitambo kidogo, alafu istoshe napenda sana kupikiwa wali kwa kutumia jiko la mkaa...teh
PM yangu umeiona..??
 
Zilikua mbili ivyo nabaki na moja pia napenda kutumia mkaa kupika wali ivyo huwa zipo ndani tu maana nlikua nazitumia nikiwa chuo
Sawa.
Hivi huyo wa kwenye avatar ni wewe..??
Maana Dahhhh...!!
Basi tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom