TopStar Member Apr 3, 2017 10 4 Aug 21, 2017 #1 Nauza pilipili nilizopanda shambani Bagamoyo kwa anayehitaji anitafute kwenye namba zifuatazo, kwa mawasiliano zaidi. 0766767539_voda 0677459677_tigo Tafadhali mfahamishe na mwezio Sent using Jamii Forums mobile app
Nauza pilipili nilizopanda shambani Bagamoyo kwa anayehitaji anitafute kwenye namba zifuatazo, kwa mawasiliano zaidi. 0766767539_voda 0677459677_tigo Tafadhali mfahamishe na mwezio Sent using Jamii Forums mobile app
toroka uje mjini JF-Expert Member Mar 29, 2017 1,584 2,107 Aug 21, 2017 #2 Mkuu pilipili za aina GANI? Sent from Calculator Phone vesion007
TopStar Member Apr 3, 2017 10 4 Aug 21, 2017 Thread starter #3 toroka uje mjini said: Mkuu pilipili za aina GANI? Sent from Calculator Phone vesion007 Click to expand... Pilipili mbuzi mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
toroka uje mjini said: Mkuu pilipili za aina GANI? Sent from Calculator Phone vesion007 Click to expand... Pilipili mbuzi mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
TopStar Member Apr 3, 2017 10 4 Aug 22, 2017 Thread starter #4 Nauza pilipili mbuzi,shamba lipo bagamoyo,kilo 1 ni Tsh.1500 au debe Tsh.10,000 .pilipili zipo katika ubora wake... Kwa anaye hitaji,wasiliana nami kupitia.. -0766767539_voda -0677459677_tigo Nyote mnakaribishwa.. Sent using Jamii Forums mobile app
Nauza pilipili mbuzi,shamba lipo bagamoyo,kilo 1 ni Tsh.1500 au debe Tsh.10,000 .pilipili zipo katika ubora wake... Kwa anaye hitaji,wasiliana nami kupitia.. -0766767539_voda -0677459677_tigo Nyote mnakaribishwa.. Sent using Jamii Forums mobile app
miambovu JF-Expert Member Nov 17, 2016 378 777 Aug 22, 2017 #6 mkuu yn umelima pilipili?? una moyo Sent using Jamii Forums mobile app
B Bonge JF-Expert Member Aug 29, 2007 1,118 876 Aug 22, 2017 #7 TopStar said: Nauza pilipili mbuzi,shamba lipo bagamoyo,kilo 1 ni Tsh.1500 au debe Tsh.10,000 .pilipili zipo katika ubora wake... Kwa anaye hitaji,wasiliana nami kupitia.. -0766767539_voda -0677459677_tigo Nyote mnakaribishwa.. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Hii picha ni pilipili mbuzi kweli?
TopStar said: Nauza pilipili mbuzi,shamba lipo bagamoyo,kilo 1 ni Tsh.1500 au debe Tsh.10,000 .pilipili zipo katika ubora wake... Kwa anaye hitaji,wasiliana nami kupitia.. -0766767539_voda -0677459677_tigo Nyote mnakaribishwa.. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Hii picha ni pilipili mbuzi kweli?
toroka uje mjini JF-Expert Member Mar 29, 2017 1,584 2,107 Aug 23, 2017 #8 miambovu said: mkuu yn umelima pilipili?? una moyo Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Mkuu hakuna zao lenye hela kama hilo Sent from Calculator Phone vesion007
miambovu said: mkuu yn umelima pilipili?? una moyo Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Mkuu hakuna zao lenye hela kama hilo Sent from Calculator Phone vesion007
toroka uje mjini JF-Expert Member Mar 29, 2017 1,584 2,107 Aug 23, 2017 #9 TopStar said: Pilipili mbuzi mkuu Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Zinahitajika pilipili ndefu mkuu Sent from Calculator Phone vesion007
TopStar said: Pilipili mbuzi mkuu Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Zinahitajika pilipili ndefu mkuu Sent from Calculator Phone vesion007
toroka uje mjini JF-Expert Member Mar 29, 2017 1,584 2,107 Aug 23, 2017 #10 TopStar said: Nauza pilipili mbuzi,shamba lipo bagamoyo,kilo 1 ni Tsh.1500 au debe Tsh.10,000 .pilipili zipo katika ubora wake... Kwa anaye hitaji,wasiliana nami kupitia.. -0766767539_voda -0677459677_tigo Nyote mnakaribishwa.. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Kama ni hizo ngoja nikupigie Mkuu Sent from Calculator Phone vesion007
TopStar said: Nauza pilipili mbuzi,shamba lipo bagamoyo,kilo 1 ni Tsh.1500 au debe Tsh.10,000 .pilipili zipo katika ubora wake... Kwa anaye hitaji,wasiliana nami kupitia.. -0766767539_voda -0677459677_tigo Nyote mnakaribishwa.. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Kama ni hizo ngoja nikupigie Mkuu Sent from Calculator Phone vesion007
jimmyfoxxgongo JF-Expert Member Jan 23, 2013 5,352 9,293 Oct 29, 2017 #11 toroka uje mjini said: Mkuu hakuna zao lenye hela kama hilo Sent from Calculator Phone vesion007 Click to expand... Mkuu hebu leta utaratibuwa soko kwanza tuone
toroka uje mjini said: Mkuu hakuna zao lenye hela kama hilo Sent from Calculator Phone vesion007 Click to expand... Mkuu hebu leta utaratibuwa soko kwanza tuone