Rajab20190423
Member
- May 25, 2021
- 29
- 13
- Thread starter
- #21
Plate no hyoKigamboni mkuu
Plate no hyoKigamboni mkuu
Kiribati sana wakuuPlate no hyo View attachment 2407864
Kwa bei hiyo ukipata mteja nitafute pm nikupe hela ya soda mkuu
Kama huna pesa fanya kupita njia mkuu Co kila mtu maskini kama weweKwa bei hiyo ukipata mteja nitafute pm nikupe hela ya soda mkuu
Nimekushauri tu mkuu usichukie...hiyo pikipiki haina hadhi ya milioni 3Kama huna pesa fanya kupita njia mkuu Co kila mtu maskini kama wewe
Hivyo vidude vinauzwaga bei sababu ni Honda original kutoka Japan. Ila ukijichanganya ukakinunua hupati mtu wa kumuuzia bei uliyonunulia. Umemueleza ukweli, kumpata mtu wa kukupa milioni 3 hata 2 Kwa hicho kibatavuzi ni mtihani sana. Wanunuzi ni waarabu na wahindi wapo mitaa ya Upanga na Kisutu na huwa wanarithishana wao kwa wao hawaamini kitu alichotumia mbongo. Atatukana ila huo ni uhalisia. Watu wananunua TVS na Boxer mil. 2.6 baada ya miezi 4 au 6 hawapati wa kuinunua Kwa mil.2 Sasa hicho kibatavuzi used cha kuuzia sura utamuuzia nani 3.3!!????Nimekushauri tu mkuu usichukie...hiyo pikipiki haina hadhi ya milioni 3
Mimi kuna jamaa nilikutana nae geita ni mfanyakazi wa mgodi maarufu pale alikuwa anakiuza laki nane tena ni kizima kabisaaaHivyo vidude vinauzwaga bei sababu ni Honda original kutoka Japan. Ila ukijichanganya ukakinunua hupati mtu wa kumuuzia bei uliyonunulia. Umemueleza ukweli, kumpata mtu wa kukupa milioni 3 hata 2 Kwa hicho kibatavuzi ni mtihani sana. Wanunuzi ni waarabu na wahindi wapo mitaa ya Upanga na Kisutu na huwa wanarithishana wao kwa wao hawaamini kitu alichotumia mbongo. Atatukana ila huo ni uhalisia. Watu wananunua TVS na Boxer mil. 2.6 baada ya miezi 4 au 6 hawapati wa kuinunua Kwa mil.2 Sasa hicho kibatavuzi used cha kuuzia sura utamuuzia nani 3.3!!????
Muuzaji labla atakuwa Zanzibar anawauzia wapemba wenzie , kwa huku bara ni ndoto.Mimi kuna jamaa nilikutana nae geita ni mfanyakazi wa mgodi maarufu pale alikuwa anakiuza laki nane tena ni kizima kabisaaa