M MAKULUGA JF-Expert Member Jan 21, 2011 7,159 9,360 Nov 10, 2011 #1 Kuna mashine ya kopi inauzwa ,bei m 1.ipo katiak hali nzuri,imetumika miezi 3 tangu inunuliwe (mtumba)ipo DSM ukihitaji PM please!
Kuna mashine ya kopi inauzwa ,bei m 1.ipo katiak hali nzuri,imetumika miezi 3 tangu inunuliwe (mtumba)ipo DSM ukihitaji PM please!
ikizu JF-Expert Member Oct 26, 2011 431 56 Nov 10, 2011 #2 utapatikanaje maana hakuna mawasiliano yoyote
Matope JF-Expert Member Apr 29, 2009 892 679 Nov 10, 2011 #3 Laki sita kaka kama vp ni PM!!!!nikupe fasta!
M marty JF-Expert Member Aug 4, 2011 770 27 Nov 10, 2011 #4 ni zile ndogo ama kubwa?ni vyema ukiweka mawasiliano yako hakuna kitu nisichokichukia kama PM,Weka contactss naamini serious buyes watacall
ni zile ndogo ama kubwa?ni vyema ukiweka mawasiliano yako hakuna kitu nisichokichukia kama PM,Weka contactss naamini serious buyes watacall