Nauza palm top

Nauza palm top

Donpela

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2011
Posts
2,040
Reaction score
592
Nauza palm top tungsten t5! .Ipo katika hali nzuri,bei 120,000!
 
Ndio nini hicho tunaomba kueleweshwa
 
Nyie mnaouliza ndio nini hicho, mmeshindwa hata ku google kujuwa ni nini hicho? hiki hapa:
25032008-4.jpg

 
kwa jan lingne inajulikana kama personal digital assistance (PDA)
 
Naitaji kwa laki Kama poa nijulishe 0786221160/0653271160/0777281160
 
Nyie mnaouliza ndio nini hicho, mmeshindwa hata ku google kujuwa ni nini hicho? hiki hapa:
25032008-4.jpg

Athante ,Vaiko(mwenye) alitakiwa aweke hivi ulivyoweka kwani yeye ndie muuzaji ,na unapouza kitu unatakiwa kitu unachokiuza kieleweke kwa urahisi ,sio mpaka imteja aanze kuuliza maswali mengi,kuna chapa zingine hazijulikani,ingekuwa chapa ya Nokia au samsung kusingekuwa na maswali mengi,pia huyu ndugu alitakiwa atoe maelezo au ufafanuzi kidogo je ni mali mpya au imetumika ,au imefungwa au haijafungwa (unaweza kutumia mitandao ipi) au ina tatizo/haina tatizo na inasaidia kwa kazi zipi,hapo hata mteja anavutika.Sasa mpaka FF atutolee ufafanuzi wakati biashara si yake inabidi umkatie ganji ukiuza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom