Nauza Nyumba ya vyumba vinne iliyopo Kigogo Kati Wilaya ya Kindondoni-Dar es salaam kwa Tshs 17,000,000/=
Nauza Nyumba ya vyumba vinne iliyopo Kigogo Kati Wilaya ya Kindondoni-Dar es salaam kwa Tshs 17,000,000/=
Ok picha hii hapa preta
Gari inafika?
unataka kuhama mbezi beach mkuu au ni kuongeza mautajiri kama r. moja....
Kigogo kati, randa bar
Hii ni unsurveyed area gari haifiki unapaki kama 100 meters from home.