Gracie Joe
Member
- Aug 19, 2014
- 47
- 14
Je una asili ya Kigoma na ungependa ujenge nyumba kwenu?
Je umejaribu mara kibao kutuma pesa nyumbani kwa ajili ya ujenzi na umeishia kugombana na ndugu ambao wamekula pesa zako?
Usiwaze zaidi, maana
Ninauza nyumba iliyopo Mjimwema juu kidogo ya Game kwenye kilima kwenye kiwanja chenye ukubwa wa mita 50X30. Nyumba ina view nzuri sana katika pande 3 ambapo pande moja unatazama Mlole na town center, pande zingine unatazama ziwa.
Nyumba imejengwa kwenye upande wa juu kabisa wa kiwanja hivyo kuna nafasi ya kujenga nyumba nyingine bila kuathiri view ya nyumba ya kwanza. Waweza boresha na kufanya hoteli, ni eneo zuri. Juu kidogo kuna hoteli inajengwa.
Ina vyumba 3 vya kulala, sebule, dining, jiko lenye makabati yake na car park yake ni california style.
Vitu vyote muhimu kama umeme, maji safi na mfumo wa maji taka, choo cha public na masterbedroom.
Picha nitapiga nikienda mwisho wa mwezi, lkn nafikiri naweza pata picha chake kwenye archive yangu.
Tuwasiliane kwa 0756 946 327
Bei ni sh 80 mil tu, dalali ahusiki.
Karibuni
Je umejaribu mara kibao kutuma pesa nyumbani kwa ajili ya ujenzi na umeishia kugombana na ndugu ambao wamekula pesa zako?
Usiwaze zaidi, maana
Ninauza nyumba iliyopo Mjimwema juu kidogo ya Game kwenye kilima kwenye kiwanja chenye ukubwa wa mita 50X30. Nyumba ina view nzuri sana katika pande 3 ambapo pande moja unatazama Mlole na town center, pande zingine unatazama ziwa.
Nyumba imejengwa kwenye upande wa juu kabisa wa kiwanja hivyo kuna nafasi ya kujenga nyumba nyingine bila kuathiri view ya nyumba ya kwanza. Waweza boresha na kufanya hoteli, ni eneo zuri. Juu kidogo kuna hoteli inajengwa.
Ina vyumba 3 vya kulala, sebule, dining, jiko lenye makabati yake na car park yake ni california style.
Vitu vyote muhimu kama umeme, maji safi na mfumo wa maji taka, choo cha public na masterbedroom.
Picha nitapiga nikienda mwisho wa mwezi, lkn nafikiri naweza pata picha chake kwenye archive yangu.
Tuwasiliane kwa 0756 946 327
Bei ni sh 80 mil tu, dalali ahusiki.
Karibuni