Nauza nyumba ipo Pugu - Kinyamwezi

Nauza nyumba ipo Pugu - Kinyamwezi

RAYAN THE DON

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2019
Posts
679
Reaction score
1,220
Habari wanabodi?

Ni matumaini yangu kwamba mko salama kabisa.

Aidha, nawapongeza kwa mapambano makali dhidi ya huu ugonjwa wa korona. Kadhalika, tuendelee na utaribu wetu wa kuhakikisha tunanawa kwa maji tiririka na sabuni ili kujikinga na hili gonjwa. Pia inatupasa tumtangulize mbele mwenyezi Mungu ili tuyashinde haya majaribu ya shetani.

WanaJF, bila kupoteza muda ni kwamba nauza nyumba yangu ipo PUGU-KINYAMWEZI.

Kwa wale ambao mnapenda kuwekeza katika mali ambazo hazihamishiki (Real Property) hii ni fursa yenu ya pekee kwani ukinunua hii nyumba hautojuta hata kidogo kwa sababu ni nyumba nzuri sana na kumbuka nyumba/ kiwanja hakipungui thamani hata siku moja bali thamani yake huongekezeka mara dufu kila kukicha.

SIFA ZA NYUMBA
1. Ni nyumba nzuri, ya kisasa kama wasemavyo watoto wa mjini.
2. Ina ulinzi wa kutosha(CCTV Camera), ina eneo la kupaki magari madogo 8.
3. Nyumba ina vyumba hiyo ina Dining room, Library, master room 1, non-master room 2.

BEI
Nauza Milioni 100,000,000/=

MAWASILIANO.
Mob: 0677080460

Karibuni sana Wanabodi.

Nyumba .jpeg
 
Tulia mkuu.
Karibu ununue hiyo nyumba.
Umeandika tangazo vizuri tu. Ukiona watu wanaoropoka na kukosoa ujue hawana fedha. Wadharau. BTW Hivi Pugu Kinyamwezi iko wapi hasa? Ukitoka pale Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere unaelekea wapi na kuna umbali gani?
 
Mimi sina mpango wa kununua nyumba, lakini nakushauri uweke picha zaidi, ikiwezekana na floor plan hata kama ni ya kuchora kwa mkono...
 
Umeandika tangazo vizuri tu. Ukiona watu wanaoropoka na kukosoa ujue hawana fedha. Wadharau. BTW Hivi Pugu Kinyamwezi iko wapi hasa? Ukitoka pale Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere unaelekea wapi na kuna umbali gani?
Unaelekea Gongo lo mboto/ Chanika baada ya Gongo la mboto unapita vituo kama vitano ndipo unafika Kinyamwezi.

Airport to Pugu Kinyamwezi ni kama 4km mkuu.
 
Umeandika tangazo vizuri tu. Ukiona watu wanaoropoka na kukosoa ujue hawana fedha. Wadharau. BTW Hivi Pugu Kinyamwezi iko wapi hasa? Ukitoka pale Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere unaelekea wapi na kuna umbali gani?
Thesis za nini humu?
 
Nimependa sana hapo sitting Room,hiyo sofa nayo kali sana


Sent using IPhone X
 
Unaelekea Gongo lo mboto/ Chanika baada ya Gongo la mboto unapita vituo kama vitano ndipo unafika Kinyamwezi.

Airport to Pugu Kinyamwezi ni kama 4km mkuu.
Hii sio kweli!
Umbali kutoka airport hadi pugu kinyamwezi ni km 15
Ipo hivi:
Kutoka Gongo la mboto hadi Airport ni km 5
Kutoka Gongo la mboto hadi pugu kinyamwezi(ofisi ya serikali za mtaa) ni km 10
Hivyo jumla ni 15km

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaelekea Gongo lo mboto/ Chanika baada ya Gongo la mboto unapita vituo kama vitano ndipo unafika Kinyamwezi.

Airport to Pugu Kinyamwezi ni kama 4km mkuu.
Mkuu umepewa udalali hata huna taarifa muhimu...jiongeze!Km 4 unazijua kweli...kukueaidia kutoka Airport mpaka Kinyamwezi Ni sawa na kutoka Posta Hadi Kimara!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom