Nauza Mzigo wa Stationery

Nauza Mzigo wa Stationery

Amani kwenu wadau,
Nina mzigo kidogo wa stationery una thamani zaidi ya laki 3, mimi nauza kwa bei ya hasara laki 1 na nusu tuu.
Kwa anayehitaji anichek hapa 0626852910 kwa maelezo zaidi.
Napatikana tabata, karibuni
/QUOTE]
Mkuu hiyo thamani ya shilingi laki tatu ya huo mzigo ni katika bei ya kununuliaa wewe hizo bidhaa au katika bei ya kuuzia hapo ilipokuwa ofisi yako?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom