Nimerudi tena jukwaani kwa mtu anayehitaji mbuzi, kondoo na ng'ombe kwa ajili ya kuchinja au kufuga nipo hapa kwa ajili yako na ushauri nakupa kama wa unahitaji kufuga.
Jamaa ameomba uweke Picha za Kimtindo,
Ndo nikamshauri kua bora ziwekwe picha za kinachotangazwa hapa, sio Picha za Kimtindo, sababu hapa mada haihusu Kimtindo
Yaani biashara ya mtandaoni bila hata picha za bidhaa na huduma unazotoa?
Mtu ataamini vipi sasa mkuu angalau kwa kuona unachotoa?
Tangazo halijakamilika mkuu
kwa mtu anayehitaji mbuzi,kondoo na ng'ombe kwa ajili ya kuchinja au kufuga nipo hapa kwa ajili yako na ushauri nakupa kama wa unahitaji kufuga...
Call 0623297330
Jamaa ameomba uweke Picha za Kimtindo,
Ndo nikamshauri kua bora ziwekwe picha za kinachotangazwa hapa, sio Picha za Kimtindo, sababu hapa mada haihusu Kimtindo