INAUZWA Nauza mbuzi na kondoo

SILLENT KILLER 2

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2024
Posts
486
Reaction score
868
Wakuu natumaini wazima wa afya kabisa.

Nimerudi tena jukwaani kwa mtu anayehitaji mbuzi, kondoo na ng'ombe kwa ajili ya kuchinja au kufuga nipo hapa kwa ajili yako na ushauri nakupa kama wa unahitaji kufuga.

Call 0623297330
Mfungo Mwema....?
 
Una kondoo aina gani mkuu?
 
Yaani biashara ya mtandaoni bila hata picha za bidhaa na huduma unazotoa?
Mtu ataamini vipi sasa mkuu angalau kwa kuona unachotoa?
Tangazo halijakamilika mkuu
 
Nje ya mada:

Kwa nini mabucha ya nyama ya mbuzi ni adimu tofauti na ng'ombe?

NB:Sidhani kama ni issue ya wateja sababu huko kwenye baa ndiyo kitoweo pendwa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…