mtataina
Member
- Mar 18, 2025
- 13
- 5
Katika kujikinga na kujilinda na uchafuzi wa mazingira, kampuni ya Zanrec recycling company tunayo furaha kuwajulisha kua tunatengeneza na kuuza mbao na nguzo za plastiki, mbao hizi ni ngum na imara, haziozi, haziliwi na wadudu na zinadum kwa miaka mingi, zinatumika kujenga fensi ya nyumba, vitanda vya beach, samani za ndani, pergola na vitu vingine.
Tuna size ya 2x2 feet 8 bei 20,000. 4x2 feet 8 bei 25,000, 4x4 feet 8 bei 40,000 na size nyingine 6x2, 8x2, round poles 3.3 feet 8 bei 24,500. 3.3 feet 10 bei 33000 na zingine
Tunapatikana Zanzibar na Dar es salaam, kwa mawasiliano zahidi namba zetu ni 0757671874, barua pepe ; sales@zanrec.co.tz
Tuna size ya 2x2 feet 8 bei 20,000. 4x2 feet 8 bei 25,000, 4x4 feet 8 bei 40,000 na size nyingine 6x2, 8x2, round poles 3.3 feet 8 bei 24,500. 3.3 feet 10 bei 33000 na zingine
Tunapatikana Zanzibar na Dar es salaam, kwa mawasiliano zahidi namba zetu ni 0757671874, barua pepe ; sales@zanrec.co.tz