Kama unaihitaji njoo PM tuongee biashara mkuuBei Chee ndo Bei gani
weka picha kisha utuandikie hiyo bei Chee kwa tarakimu.Habari wana jamii forum,ninauza mashine ya kusagia juisi ya miwa...yan ni mashine ofisi nkimaanisha mashine na kijumba kbsa na shelf zake....ni ya umeme na ni mpya kabisaaa....kwa bei chee,ambae yupo anahitaji ani Pm tuongee biashara
Nashukuru kwa ufafanuzi. Maana nilikuwa nawaza hapa usage muwa upate juiceJuice hukamuliwa mahindi husagwa

Utaitwa tapeli sasa hivi. Kwanini usiandike bei, ukaweka picha, ukataja ulipo, ukaweka mawasiliano kisha usubiri watu waje pm wenyewe?Kama unaihitaji njoo PM tuongee biashara mkuu
Nimeshatuma mkuuUtaitwa tapeli sasa hivi. Kwanini usiandike bei, ukaweka picha, ukataja ulipo, ukaweka mawasiliano kisha usubiri watu waje pm wenyewe?
Kwanini bei ifichwe?
Yes bado ipo...kama unahitaji tuwasiliane kwa namba nliyotaja hapo juu tafadhaliBado ipo mkuu?
Yes bado ipo kama unaihitaji naomba tuwasiliane kupitia hiyo namba niliyotaja hapo juu tafadhaliBadp ipo
Mkuu mbona Pm yako haifungukiHabari wakuu,nauza mashine ya kukamulia juisi ya miwa,ipo Dar es salaam,Salasala...ni mashine ya office yake na shelf kabisa za kuhifadhia vitu vyako na ukafunga kwa kufuli,mashine inatumia umeme,bei ni 2,200,000...kwa yeyote anaehitaji tuwasiliane kwa namba 0693208482