Wakuu kwa ambaye anahitaji mahindi kwa ajili ya biashara au kuweka stock ili yakipanda bei auze Mimi ni nayo,ninagunia almost 70
Lakini pia kama utataka nikukusanyie hata kama ni gunia zaidi ya hapo naomba tuwasiliane,ninapatikana Bunda -Mara
Sitaweka namba yangu hapa ya simu ili kuepuka matapeli,kwa anayehitaji anifuate PM
Ahsanteni sana
Sent using
Jamii Forums mobile app