teddy mulokozi
Member
- Apr 29, 2018
- 22
- 6
Habarini wapendwa ninauza maharage roz koko pia napokea tenda mashuleni
Namba yako ya simu?Habarini wapendwa ninauza maharage roz koko pia napokea tenda mashuleni
Duuu, mkuu unaelimu gani?Dar es salaam
Nimekosea wapDuuu, mkuu unaelimu gani?
Hamna mkuu uko sahihi kabisa na hili ni moja kati ya matangazo bora kabisa kuwahi kutokea. Hongera sana mkuu.Nimekosea wap
Nimeuliza elimu kwakuwa hili ni tangazo la staili ya PHD levelNimekosea wap
Hamna mkuu uko sahihi kabisa na hili ni moja kati ya matangazo bora kabisa kuwahi kutokea. Hongera sana mkuu.

Mkuu weka taarifa zote muhimu kuhusu biashara yako kwenye tangazo lako hapo juu.Habarini wapendwa ninauza maharage roz koko pia napokea tenda mashuleni