Hii siyo simu za kawaida hii ni high brand ingia gsm arena utaona kila kitu. Picha ni kwa zile simu ambazo hazitambuliki kimataifa.
Ndo natumia siwezi kuipiga picha na sina camera wala simu yenye camera nzuri. Mteja aingie Google then atype Lumia 1320 atapata picha na specs' zote.Kwa hili jibu ni kama sijakuelewa ..!
Unamaanisha huwezi weka picha coz inatambulika kimataifa ..?