Nauza lorry tone 15 kwa Bei powaaaaa

Pasco_jr_ngumi

JF-Expert Member
Nov 20, 2010
1,802
282
Liko katika Hali nzuri na linafanya kazi. Kwa sasa Liko Mtwara. Anayehitaji ni-mail tway4di@gmail.com
 
la mwaka gani? aina gani?? limekua tanzania kwa muda gani?? mileage kiasi gani?? limelipiwa ushuru?
 
poa

lazima inkoskaaz atakucheki au kaizer, wanahitaji sana lori
 
Weka bei ya kuanzia. Mtwara sehem gan mkuu Tandahimba,Newala,Masasi,Nanyumbu au Mtwara mjini ili tutume vijana wakalichek.

Weka detail za kutosha mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom