Airtel money line nauza laki 2 na unapata float ya laki moja. Ukiwa na leseni ya biashara,Tin no na kitambulisho utapata kwa majina yako.Weka contacts
Airtel money line nauza laki 2 na unapata float ya laki moja. Ukiwa na leseni ya biashara,Tin no na kitambulisho utapata kwa majina yako.Weka namba ntakutafuta..
Ila kabla sijakutafuta naomba kuuliza, hyo line ya tigopesa nikitoa 500,000 humo ndan ya line naikuta ama inakuiwa haina kitu??
Na je ukiniuzia hiuo line unanisajilia hapo hapo inakuwa na jina langu kamili ama inakuaje??