Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,432
Nenda Kariakoo kwenye maduka ya Wasomali utapataChukua TSHS 200,000/-
Nenda Kariakoo kwenye maduka ya Wasomali utapataChukua TSHS 200,000/-
kwako sina shaka, BRAND (TYPE YA PRODUCT) zilinizinguaga kama mbili hivi nikapoteza imani naoTrust kwangu au kwa type ya product mkuu
Hivi si ndo pale jirani na Upanga eeh?Njoo Pm
Basi mi nilipata nuksi nazoMbona ndio tunazotumia miaka nenda rudi hatuoni hayo matatizo mkuu
Hahahaa we jamaaTiss mawindon
Upanga sipajui napasikia tu...mimi sio mwanaume wa Dar hahahaHivi si ndo pale jirani na Upanga eeh?
Ntakuja tu mkuu hata kama kwa MorombooUpanga sipajui napasikia tu...mimi sio mwanaume wa Dar hahaha
Nina problem flani nauza laptop yangu HP, ram 4 ,64bit,core i5,500HD .
Laptop ni nzima haina tatizo lolote. Nipo Dar. Bei 350,000 karibuni sanaView attachment 719572
Nina problem flani nauza laptop yangu HP, ram 4 ,64bit,core i5,500HD .
Laptop ni nzima haina tatizo lolote. Nipo Dar. Bei 350,000 karibuni sanaView attachment 719572