Nauza Laptop aina ya TOSHIBA Tshs. 290,000/=

Nauza Laptop aina ya TOSHIBA Tshs. 290,000/=

mstaarabu22

Member
Joined
Jun 30, 2014
Posts
49
Reaction score
4
Ndugu wana Jamiiforums habari ya leo? Ni matumaini yangu ya kuwa mpo salama. Nauza laptop aina ya TOSHIBA kwa tsh 290,000/= kwani nina shida ya haraka sana.

Specifications zake;
Aina ni Toshiba
HDD - 150 GB
Processor - 2.10 GHz Intel R Duo Core
RAM - 2.00 GB

Kwa picha zake na mawasiliano, nicheck kupitia: 0756250458.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom