Nauza laptop aina ya "HP"

Nauza laptop aina ya "HP"

Isaack Newton

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2013
Posts
619
Reaction score
371
Habari wakuu!

Nauza laptop aina ya HP imetumika mwaka mmoja na nusu, betri iko fresh inakaa na chaji masaa matatu lakini kwenye keyboard yake kuna baadhi ya batani zinasumbua. Kwa atakayehitaji bei ni 270,000/=.

Napatikana Mbezi Beach - Salasala.
0679478758.

IMG_20200128_130500_914.jpg
IMG_20200128_130441_656.jpg
IMG_20200128_130053.jpg
IMG_20200128_130047.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom