NAUZA LAMINATION & BINDING MACHINE

NAUZA LAMINATION & BINDING MACHINE

Huyo jamaa ni mwongo hata msimsikilize.

Atakwambia njoo uione then unajibeba ukifika anakwambia kashauza
mkuu naomba uache shobo na business za watu, kama huna hela tuliza kipapa ni lini mimi na wewe tulifanya biashara?
 
Mashine bado zipo wapendwa, call; 0754 669580
 
Amani kwenu wadau,

Nina machine mbili nauza binding na lamination kwa bei ya kutupa,

Lamination machine naiuza 75,000/= bei inapoa
Binding machine naiuza 65,000/= bei inapoa

Kwa anayetaka zote kwa pamoja binding na lamination nipatie 130,000/=

Maelewano yapo.

Kwa mawasiliano nipigie 0754 669580

Hizi picha chini ni picha halisi za mashine zilivyo

any serious buyer nipigie simu tufanye biashara, karibuni.
066e4842004b7845895e2be0005c0741.jpg

a812304499e9627440d03e2d62bc03dd.jpg


65193300d8bcc761838ae98dcb82047f.jpg

3ae6ad79219fccce2118a3f2825d15c9.jpg

156d0e314c834cd98d6bf6bbe3db2962.jpg

f9ca2e0c3a68020ef71747656acfccac.jpg
 
Kwa maelezo ya mwanzo haioneshi wewe kua mfanyabiashara wa hivyo vitu. Hii kauli ya kusema umewatumia watu wengi inanipa mswali zaidi ya majibu
kwani idadi ya watu wengi inaanzia wangapi?
 
kwani idadi ya watu wengi inaanzia wangapi?
Inategemeana na biashara na aina ya tangazo lako lilivyo. Kwahapa umetudanganya. Wewe sio muuzaji wa vifaa (i mean unauza hivi kwasababu za kimatumizi na sio biashara) labda kama una biashara unayoifanya nje ya jf ila sio ya stationary
 
c701901fced2c04a6ba8c47831c6b1e3.jpg

350e5bb15157938ebfab67ec7e48a9c0.jpg

Mkuu usiongee kuchangamsha kijiwe, kama huna evidence ni bora ukapiga kimya... hiyo hapo juu ni printer nimemtumia huyo jamaa yuko mbeya kwa kupitia kampuni ya U & B express na ameipata printer yake fresh. Kwa udhibitisho mpigieni simu awadhibitishie au nenda ofisi za hiyo kampun pale ubungo upewe ukweli.
Sasa mbona katangazo kafupi, hujaelezea bidhaa zote
 
Back
Top Bottom