NAUZA LAINI ZA UWAKALA

NAUZA LAINI ZA UWAKALA

Joined
Jan 26, 2017
Posts
63
Reaction score
69
Wadau nauza Laini za uwakala vodacom M-pesa na Tigo Tigopesa Laini haijafanya Transaction yeyote we utakayenunua Ndo utaibikiri...kwa Mawasilino zaidi nicheki Acha namba yako nitakupigia kwa Maelezo zaidi....karibuni
 
Mkuu kuna watu unataka kuwakamata humu kwa nini usingeacha yako.humpati mtu humu
 
Wadau nauza Laini za uwakala vodacom M-pesa na Tigo Tigopesa Laini haijafanya Transaction yeyote we utakayenunua Ndo utaibikiri...kwa Mawasilino zaidi nicheki Acha namba yako nitakupigia kwa Maelezo zaidi....karibuni
Kwani vodacom Na Tigo wameoshiwa hizo line mpaka watu waje kununua kutoka kwako,Ili kuwa Na uhakika Na kuepuka utapeli au wizi kwenye miamala Ni Bora ukachukua line ya uwakala kutoka kampuni husika
 
Kwani vodacom Na Tigo wameoshiwa hizo line mpaka watu waje kununua kutoka kwako,Ili kuwa Na uhakika Na kuepuka utapeli au wizi kwenye miamala Ni Bora ukachukua line ya uwakala kutoka kampuni husika
Kachukue kwenye Kampuni kwani nimekuzuia
 
Back
Top Bottom