NAUZA KUKU WAKIENYEJI

NAUZA KUKU WAKIENYEJI

adam kayombo

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2014
Posts
262
Reaction score
140
Kula Kuku wakienyeji kwa afya bora. epuka kula nyama nyekundu. Nyama nyekundu sio nzuri kiafya. Kuku ninzuri kwa afya yako. NAUZA KUKU WAKIENYEJI WENYE SIFA ZOTE. Wana uzito Wa kilo 4 hadi 5. Simu 0714206767. Angalia. YOU TUBE. #KAYOMBO95KUKU.
 
Uza kuku wako bila kuathiri biashara yetu ya mbuzi na ng'ombe. Nyama nyekundu unahusiana vipi na kuku wako.
Biashara yenu ya mbuzi na ng'ombe wa kwenye keyboard?
Na wewe weka YouTube kama mfanyabiashara mwenzako alivyofanya.
 
Kula Kuku wakienyeji kwa afya bora. epuka kula nyama nyekundu. Nyama nyekundu sio nzuri kiafya. Kuku ninzuri kwa afya yako. NAUZA KUKU WAKIENYEJI WENYE SIFA ZOTE. Wana uzito Wa kilo 4 hadi 5. Simu 0714206767. Angalia. YOU TUBE. #KAYOMBO95KUKU. View attachment 1156839
Acha ujinga wewe jamaa.

Unaijua nyama nyekundu utamu wake?

Ushawahi kula mbuzi wa kuchoma wewe..?

Ushawahi kula mchemsho wa supu ya ng'ombw wewe..?
 
Sio hao tuliozoea mkuu, huyu kamaanisha kuku wa kienyeji jamii ya ndege

😂😂😂😂

Basi nikajua jamii ile nyingine mkuu. Nitafungua haraka haraka nilichokutana nacho kumbe sicho kabisa. Hahahah.
 
Kula Kuku wakienyeji kwa afya bora. epuka kula nyama nyekundu. Nyama nyekundu sio nzuri kiafya. Kuku ninzuri kwa afya yako. NAUZA KUKU WAKIENYEJI WENYE SIFA ZOTE. Wana uzito Wa kilo 4 hadi 5. Simu 0714206767. Angalia. YOU TUBE. #KAYOMBO95KUKU.
View attachment 1156839
Hawa mbona kama Sasso na Kuroiler Mkuu eti au mimi ndiyo sijui.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom