mwanajamii00
Member
- Sep 30, 2018
- 6
- 11
Habari Wanajamii Forum.
Kama inavyojieleza apo Juu, Ninauza Kuku Wa Kisasa Wenye uzito zaidi ya 1kg, ni wazuri, wazito na tayari kwa nyama. Ninao kuku 500. Bei ni 5500 Tshs. ., ila kwa mteja anaehitaji zaid ya kuku 200 kwa mara moja naweza kumpunguzia bei kidogo.
(Huduma ya kuchinjiwa na kuletewa pia ipo kwa makubaliano).
Nipo Dar es salaam, Tegeta - Namanga. Kuku unaweza kuja kuwaona / kununua muda wowote, wasiliana nami kwa namba zifuatazo.
Whatsapp/Call 0655164257
0657880456
Pia nimeambatanisha picha za baadhi ya kuku naowafuga bandani.
Asanteni na Karibuni sana.
Kama inavyojieleza apo Juu, Ninauza Kuku Wa Kisasa Wenye uzito zaidi ya 1kg, ni wazuri, wazito na tayari kwa nyama. Ninao kuku 500. Bei ni 5500 Tshs. ., ila kwa mteja anaehitaji zaid ya kuku 200 kwa mara moja naweza kumpunguzia bei kidogo.
(Huduma ya kuchinjiwa na kuletewa pia ipo kwa makubaliano).
Nipo Dar es salaam, Tegeta - Namanga. Kuku unaweza kuja kuwaona / kununua muda wowote, wasiliana nami kwa namba zifuatazo.
Whatsapp/Call 0655164257
0657880456
Pia nimeambatanisha picha za baadhi ya kuku naowafuga bandani.
Asanteni na Karibuni sana.