Nauza Kuku wa kisasa

Nauza Kuku wa kisasa

mwanajamii00

Member
Joined
Sep 30, 2018
Posts
6
Reaction score
11
Habari Wanajamii Forum.
Kama inavyojieleza apo Juu, Ninauza Kuku Wa Kisasa Wenye uzito zaidi ya 1kg, ni wazuri, wazito na tayari kwa nyama. Ninao kuku 500. Bei ni 5500 Tshs. ., ila kwa mteja anaehitaji zaid ya kuku 200 kwa mara moja naweza kumpunguzia bei kidogo.

(Huduma ya kuchinjiwa na kuletewa pia ipo kwa makubaliano).

Nipo Dar es salaam, Tegeta - Namanga. Kuku unaweza kuja kuwaona / kununua muda wowote, wasiliana nami kwa namba zifuatazo.

Whatsapp/Call 0655164257
0657880456

Pia nimeambatanisha picha za baadhi ya kuku naowafuga bandani.
Asanteni na Karibuni sana.
IMG_20181113_065208.jpg
IMG_20181113_065049.jpg
 
Hawa kuku wakifikia hapo wanakula balaa nakuombea mungu upate soko haraka. Peleka tegeta nyuki sokoni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom