N Namata Senior Member Joined Sep 1, 2019 Posts 154 Reaction score 190 Jun 7, 2025 #1 Mm ni muuzaji wakorosho za kuokwa kutoka masasi mtwara. Nawatangazia wanaoitaji korosho mm naziuza mfano kwa picha chini. Attachments IMG_20250604_131557_974.jpg 293.3 KB · Views: 20
Mm ni muuzaji wakorosho za kuokwa kutoka masasi mtwara. Nawatangazia wanaoitaji korosho mm naziuza mfano kwa picha chini.
Half american JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 45,030 Reaction score 111,617 Jun 7, 2025 #2 Weka details zaidi
Komeo Lachuma JF-Expert Member Joined Oct 31, 2014 Posts 11,166 Reaction score 22,750 Jun 7, 2025 #3 Namata said: Mm ni muuzaji wakorosho za kuokwa kutoka masasi mtwara. Nawatangazia wanaoitaji korosho mm naziuza mfano kwa picha chini. Click to expand... Sasa unauza hujataja bei wala uzito kwa hiyo bei. Hujataja upo wapi? Mbona hampo serious na biashara?
Namata said: Mm ni muuzaji wakorosho za kuokwa kutoka masasi mtwara. Nawatangazia wanaoitaji korosho mm naziuza mfano kwa picha chini. Click to expand... Sasa unauza hujataja bei wala uzito kwa hiyo bei. Hujataja upo wapi? Mbona hampo serious na biashara?
N Namata Senior Member Joined Sep 1, 2019 Posts 154 Reaction score 190 Jun 7, 2025 Thread starter #4 Kilo 18 master
N Namata Senior Member Joined Sep 1, 2019 Posts 154 Reaction score 190 Jun 7, 2025 Thread starter #5 Komeo Lachuma said: Sasa unauza hujataja bei wala uzito kwa hiyo bei. Hujataja upo wapi? Mbona hampo serious na biashara? Click to expand... Ata ivyo nimeandika tu lkn najuwa umu akuna wakununua korosho zangu.
Komeo Lachuma said: Sasa unauza hujataja bei wala uzito kwa hiyo bei. Hujataja upo wapi? Mbona hampo serious na biashara? Click to expand... Ata ivyo nimeandika tu lkn najuwa umu akuna wakununua korosho zangu.
Koffi Annan JF-Expert Member Joined Dec 23, 2018 Posts 2,258 Reaction score 6,694 Jun 7, 2025 #6 Namata said: najuwa Click to expand... Namata said: umu Click to expand... Namata said: akuna Click to expand... Sio kosa lako, kosa ni la serikali ya ccm kukukosesha Elimu
Namata said: najuwa Click to expand... Namata said: umu Click to expand... Namata said: akuna Click to expand... Sio kosa lako, kosa ni la serikali ya ccm kukukosesha Elimu
Komeo Lachuma JF-Expert Member Joined Oct 31, 2014 Posts 11,166 Reaction score 22,750 Jun 7, 2025 #7 Namata said: Ata ivyo nimeandika tu lkn najuwa umu akuna wakununua korosho zangu. Click to expand... CCM imeharibu sana hii nchi.
Namata said: Ata ivyo nimeandika tu lkn najuwa umu akuna wakununua korosho zangu. Click to expand... CCM imeharibu sana hii nchi.
Komeo Lachuma JF-Expert Member Joined Oct 31, 2014 Posts 11,166 Reaction score 22,750 Jun 7, 2025 #8 Namata said: Kilo 18 master Click to expand... Weka namba za simu. Nimekuuliza upo wapi
Jerry Farms JF-Expert Member Joined Jul 18, 2022 Posts 312 Reaction score 286 Jun 8, 2025 #9 Namata said: Ata ivyo nimeandika tu lkn najuwa umu akuna wakununua korosho zangu. Click to expand... Hahahaaaa....daah
Namata said: Ata ivyo nimeandika tu lkn najuwa umu akuna wakununua korosho zangu. Click to expand... Hahahaaaa....daah
N Namata Senior Member Joined Sep 1, 2019 Posts 154 Reaction score 190 Jun 8, 2025 Thread starter #10 Koffi Annan said: Sio kosa lako, kosa ni la serikali ya ccm kukukosesha Elimu Click to expand... Sawa mwalimu wa kiswahili.
Koffi Annan said: Sio kosa lako, kosa ni la serikali ya ccm kukukosesha Elimu Click to expand... Sawa mwalimu wa kiswahili.
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 77,080 Reaction score 165,194 Jun 8, 2025 #11 Namata said: Ata ivyo nimeandika tu lkn najuwa umu akuna wakununua korosho zangu. Click to expand... ππππππππππππππππππππππππππππππ
Namata said: Ata ivyo nimeandika tu lkn najuwa umu akuna wakununua korosho zangu. Click to expand... ππππππππππππππππππππππππππππππ
Premij canoon JF-Expert Member Joined May 27, 2018 Posts 1,275 Reaction score 2,970 Jun 8, 2025 #12 Namata said: Ata ivyo nimeandika tu lkn najuwa umu akuna wakununua korosho zangu. Click to expand... Kulaleki walai ππππ€£π€£π€£ππ½
Namata said: Ata ivyo nimeandika tu lkn najuwa umu akuna wakununua korosho zangu. Click to expand... Kulaleki walai ππππ€£π€£π€£ππ½
Monetary doctor JF-Expert Member Joined Oct 20, 2022 Posts 10,156 Reaction score 18,105 Jun 9, 2025 #13 Namata said: Ata ivyo nimeandika tu lkn najuwa umu akuna wakununua korosho zangu. Click to expand... Mbona unaonyesha kushindwa mapema? Huku ukiweka tangazo likajitosheleza, kila mtu ana muda wake wa kuingia humu, Ukitegemea Leo Leo utafutwe hpn jifunze kuwa na subra, kubali kuweza, Usikate tamaa! Good luck and work hard
Namata said: Ata ivyo nimeandika tu lkn najuwa umu akuna wakununua korosho zangu. Click to expand... Mbona unaonyesha kushindwa mapema? Huku ukiweka tangazo likajitosheleza, kila mtu ana muda wake wa kuingia humu, Ukitegemea Leo Leo utafutwe hpn jifunze kuwa na subra, kubali kuweza, Usikate tamaa! Good luck and work hard
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,377 Jun 9, 2025 #14 Namata said: Ata ivyo nimeandika tu lkn najuwa umu akuna wakununua korosho zangu. Click to expand... Kama ulijuwa umu akuna wa kununua korosho zako, kwa nini sasa umekuja kuweka tangazo lako? Huoni kuwa umepoteza muda wako bure?
Namata said: Ata ivyo nimeandika tu lkn najuwa umu akuna wakununua korosho zangu. Click to expand... Kama ulijuwa umu akuna wa kununua korosho zako, kwa nini sasa umekuja kuweka tangazo lako? Huoni kuwa umepoteza muda wako bure?
Mr Pixel3a JF-Expert Member Joined Sep 15, 2021 Posts 6,976 Reaction score 10,366 Jun 9, 2025 #15 Linga na korosho zako