Nauza Kiwanja Mbezi-Msakuzi

Nauza Kiwanja Mbezi-Msakuzi

Madihani

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2015
Posts
6,326
Reaction score
7,529
Sqm900,mita35*25,bei ni Tsh8,000,000,maelewano yapo,barabara ipo,umeme upo.
 
Kiwanja kipo sehemu nzuri na Jirani na barabara kuu
 
Ongezea nyama....
Mbezi Msakuzi sehemu gani....
K
ilomita ngapi toka Morogoro Road....unaingilia wapi....etc....


Halafu kwa vipimo vyako haifiki mita za mraba 900, ni kama mita mraba 800!

Sqm900,mita35*25,bei ni Tsh8,000,000,maelewano yapo,barabara ipo,umeme upo,mawasiliano-0755744410,,unaweza kupiga na kutuma sms,mimi ndio mmiliki halali,dalali unaruhusiwa kuniletea mteja,karibuni
 
Ongezea nyama....
Mbezi Msakuzi sehemu gani....
K
ilomita ngapi toka Morogoro Road....unaingilia wapi....etc....


Halafu kwa vipimo vyako haifiki mita za mraba 900, ni kama mita mraba 800!

Kwenye picha nimeandika sqm900 approximation,,,vipimo vinaonyesha ni sqm875,sasa mwenzangu una nia gani hapa,na kama ni mteja njoo kuona ni bure,eneo ni kubwa na liko jirani na barabara kuu,,kiwanja ni changu mwenyewe na vipimo ni sahihi,bei ina maongezi,,karibuni
 
Nimelenga kukusaidia, tangazo liwe na mvuto...lisiache maswali!
Sina nia zaidi ya hiyo.....upande mmoja una mita 30, na mwingine 35, hence inakosa consistence.....
Na barabara kuu ni ipi mkuu? Sidhan kama kuja haja ya kuficha....

Kwenye picha nimeandika sqm900 approximation,,,vipimo vinaonyesha ni sqm875,sasa mwenzangu una nia gani hapa,na kama ni mteja njoo kuona ni bure,eneo ni kubwa na liko jirani na barabara kuu,,kiwanja ni changu mwenyewe na vipimo ni sahihi,bei ina maongezi,,karibuni
 
Nimelenga kukusaidia, tangazo liwe na mvuto...lisiache maswali!
Sina nia zaidi ya hiyo.....upande mmoja una mita 30, na mwingine 35, hence inakosa consistence.....
Na barabara kuu ni ipi mkuu? Sidhan kama kuja haja ya kuficha....

Upana ni tofauti nimepima upande unaopakana na barabara una mita35 na upande mwingine umepungua na kuwa mita 30,,kuhusu barabara ukiwa Moro road ukifika kwa YUSUFU unafuata barabara inayoenda Mpiji,kiwanja kipo jirani na barabara,pia sio mbali ukiwa Mbezi mwisho,
 
Mteja anayehitaji naomba anipigie simu au atume sms,kuangalia ni bure na nakupeleka mwenyewe mimi sio dalali,karibu kwa maelewano
 
  • Thanks
Reactions: RR

Similar Discussions

Back
Top Bottom