Mkuu 4M ipo kama utaridhia maana mambo yamebama .Kiwanja bado kipo.
Mambo ni magumu sana uhakika wa kupata hera mbeleni ni mgumu sana kwa upande wanguUko sahihi ila labda kama hio inayobaki utalipa kwa makubaliano.
so kwa bei hiyo mkuuuMteja akija na pesa pungufu tunaelewana vizuri.
Asante1.Kiwanja kipo Mbezi ya Kimara mtaa wa Msakuzi.
2.Kipo umbali wa 4kms(approximation) kutoka Moro road.
3.Huduma mhimu kama barabara na umeme zinapatikana hadi kwenye kiwanja.
4.Ukubwa wa kiwanja ni mita 20*20(400sqms).(Hakina hati)
5.Bei ni Tsh8,000,000(8mil),maelewano yapo.
6.Mawasiliano 0656608136(piga,sms na Whatsapp).
Kwa maswali namba ya simu ipo tayari.
Pia karibu PM.
Yaani wewe acha tuu Mkuu sijui watu wanakupendea nini huko,kwanza maji yenyewe tuu yakutafuta kwa tochi,maisha aghali mabonde kibao wakati kuna sehemu nzuri sana za kuishi ardhi tamabarare,maji ya kumwaga,ardhi bei rahisi,hewa safi bila kusahau maisha nafuu.Mbezi naijua vizuri maeneo mengi ni ya hovyo tu
Du! Bac iyo hatareeeJuzi kati nimetoka mitaa ya huko hizo ndio bei zao na watu wananunua lakini maeneo yenyewe yapo hovyo milima na mabonde nimebaki nashangaa
Chukua 5m mkuu1.Kiwanja kipo Mbezi ya Kimara mtaa wa Msakuzi.
2.Kipo umbali wa 4kms(approximation) kutoka Moro road.
3.Huduma mhimu kama barabara na umeme zinapatikana hadi kwenye kiwanja.
4.Ukubwa wa kiwanja ni mita 20*20(400sqms).(Hakina hati)
5.Bei ni Tsh8,000,000(8mil),maelewano yapo.
6.Mawasiliano 0656608136(piga,sms na Whatsapp).
Kwa maswali namba ya simu ipo tayari.
Pia karibu PM.
Kama maeneo yapi?Yaani wewe acha tuu Mkuu sijui watu wanakupendea nini huko,kwanza maji yenyewe tuu yakutafuta kwa tochi,maisha aghali mabonde kibao wakati kuna sehemu nzuri sana za kuishi ardhi tamabarare,maji ya kumwaga,ardhi bei rahisi,hewa safi bila kusahau maisha nafuu.