Habarini wandugu, nauza kiwanja changu kilichopo kibaha picha ya ndege kwa sofu km2 kutoka barabarani chenye ukubwa wa sqm 602, kiwanja kina hati, umeme na maji vipo hapo hapo vimefika kwenye kiwanja na kiwanja ni cha kwangu mwenyewe, bei ni 10,000,000/= (MILIONI KUMI) Piga simu 0716 002323, Frank jb.