Plot4Sale Nauza kiwanja changu

Frank jb

JF-Expert Member
Jun 3, 2014
418
120
Habarini wandugu, nauza kiwanja changu kilichopo kibaha picha ya ndege kwa sofu km2 kutoka barabarani chenye ukubwa wa sqm 602, kiwanja kina hati, umeme na maji vipo hapo hapo vimefika kwenye kiwanja na kiwanja ni cha kwangu mwenyewe, bei ni 10,000,000/= (MILIONI KUMI) Piga simu 0716 002323, Frank jb.

Screenshot_20230512-135605_WhatsApp.jpg
 
Habarini wandugu, nauza kiwanja changu kilichopo kibaha picha ya ndege kwa sofu km2 kutoka barabarani chenye ukubwa wa sqm 602, kiwanja kina hati, umeme na maji vipo hapo hapo vimefika kwenye kiwanja na kiwanja ni cha kwangu mwenyewe, bei ni 10,000,000/= (MILIONI KUMI) Piga simu 0716 002323, Frank jb.

View attachment 2618946
Hapo mvua za eli nino zikianza tu utajikuta unaela bahari ya hindi karibu na sheli sheli huko
 
Nashukuru nimeshakiuza kiwanja changu tangu tarehe 6/6/2023, asante
Hongera sana mzee wangu. Mungu akusimamie uitumie pesa uliyoipata vizuri kwa kazi uliyoikusudia. Kama ni mpango wa kando wàsizidi 10.
 
Hongera sana mzee wangu. Mungu akusimamie uitumie pesa uliyoipata vizuri kwa kazi uliyoikusudia. Kama ni mpango wa kando wàsizidi 10.
Nimeitumia hela yangu vizuri na mke wangu, asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom