Nauza kiwanja changu Kigamboni

mrangi

JF-Expert Member
Feb 19, 2014
80,896
106,171
Kipo Kigamboni, amani gomvu
kiwanja kina ukubwa wa sqmt 1700
kiwanja kimepimwa na kina bicons kipo nyuma ya apaetmnts za sofia simba, sqmt 1 ni sh 10000, mazungumzo yapo..
akataye hitaji tuwasiliane kwa # 0715 591141
karibuni
 
kwa kuongezea tu kiwanja hicho hakipo mbali na bara bara ya lami inayojengwa kufika hapo amani gomvu kuelekea kimbiji.karibuni
 
Kununua kiwanja kigambon ni risk,bcoz mpango wa mji mpya unaweza ukapita na ukapata hasara.c unajua tena ma ccm!!
 
Kununua kiwanja kigambon ni risk,bcoz mpango wa mji mpya unaweza ukapita na ukapata hasara.c unajua tena ma ccm!!

huko kiwanja kilipo ni nje ya mradi mkuu kuanzia geza ulole kuendelea hakuna tatizo kabla ya kununua mnunuzi anaweza kwenda ardhi aka confirm
 
Kununua kiwanja kigambon ni risk,bcoz mpango wa mji mpya unaweza ukapita na ukapata hasara.c unajua tena ma ccm!!

Mkuu utakuwa huelewi maana ya kupima ardhi na kuwa na hati

Ukiwa na hati upo entitled kulipwa fidia kulingana na value ya Kiwanja kwa kipindi hicho pamoja na value ya mali zilizopo kwenye kiwanja husika endapo serikali itapachukua.

Kama kiwanja kimepimwa ina maanisha kuwa tayari kipo kwenye mpango wa mji mpya ishu hapo ni kujua aina ya Nyumba inayotakiwa kujengwa katika hicho kiwanja. Acheni uoga kamateni maeneo kg before it's too late
 
Mkuu utakuwa huelewi maana ya kupima ardhi na kuwa na hati

Ukiwa na hati upo entitled kulipwa fidia kulingana na value ya Kiwanja kwa kipindi hicho pamoja na value ya mali zilizopo kwenye kiwanja husika endapo serikali itapachukua.

Kama kiwanja kimepimwa ina maanisha kuwa tayari kipo kwenye mpango wa mji mpya ishu hapo ni kujua aina ya Nyumba inayotakiwa kujengwa katika hicho kiwanja. Acheni uoga kamateni maeneo kg before it's too late

naona wewe ndiyo hujaelewa kwanza inawezekana mimi nikawa kwa field hiyo na naielewa vizuri sana, maeneo hayo yamepimwa na ni maeneo ya makazi....hakuna mtu muoga hapa kuhusu kukamata ardhi.maeneo yote hayo yalipimwa hayo maeneo yalipimwa na watu binafsi na yakawa approved na ardhi na manispaa ya temeke
 
.. xfactor labda kukupa maelezo zaidi ni kuwa kuna baadhi ya watu wana pima viwanja huko private na vina kuwa approved na manispaa,
ila hati haitolewi na manispaa wewe ndiyo utafatilia hati hiyo.kwa proces zile zile kama barua za serikali ya mtaa za mauziano, na mchoro wa huko..thenn unafanya follow ups kupata hati
mfano kama ile kampuni ya ardhi plan co wao walipima viwanja vingi private kwa mfumo huo huo na kuuza
 
Last edited by a moderator:
.. xfactor labda kukupa maelezo zaidi ni kuwa kuna baadhi ya watu wana pima viwanja huko private na vina kuwa approved na manispaa,
ila hati haitolewi na manispaa wewe ndiyo utafatilia hati hiyo.kwa proces zile zile kama barua za serikali ya mtaa za mauziano, na mchoro wa huko..thenn unafanya follow ups kupata hati
mfano kama ile kampuni ya ardhi plan co wao walipima viwanja vingi private kwa mfumo huo huo na kuuza

Mkuu mimi sioni Sababu ya wewe kunipinga maana nilicho kieleza ni sawa na ambacho wewe umeongea

Pia mimi sijakupinga kwa chochote bali nimempa maelezo mkuu hapo juu kuwa asiogope kununua maeneo as long as yamepimwa Au kama hayaja pimwa basi ahakikishe yapo kwenye town plan
 
Last edited by a moderator:
Acheni ujinga nyie watu wananunua viwanja na wanajenga...kama kawa..huo mradi wao wa kusuasua ambao haujulikani ni lini..kwanza ulishaexpire mda sana.. Inshort hakuna mradi ambao wananchi wamepigwa stop order kigamboni. Tatizo la watanzania waweza kuambiwa mradi wa miaka 80 ijayo mijitu ikapunic eti inaogopa hasara. Huu mradi si wa siku moja kama ilivyo mtaa. Huu mradi ni mkubwa na inahitaji pesa za kutosha. Kuwalipa watu fidia. Na mradi huu si wa serikali ni wawekezaji. Kati ya marekani na china. Amka mtanzania utaogopa ardhi yako paka lini..... Kumbuka serikali ni mwananchi na si kikwete na watu wake ambao wapo kwa kura zetu. Mtakuwa mambumbu paka lini...agrrrrrrr yaani nakereka tena tungekuwa na msimamo tungewashtaki maana watu walishindwa kujenga wengine walikopa mabank ...sasa paka leo yapata miaka 6 hakuna hata dalili...halafu bado mnaogopa kujenga. Wenye akili wanajenga ,mambulula yatabakia kusema ovyo. Nimemaliza.
 
Mkuu mimi sioni Sababu ya wewe kunipinga maana nilicho kieleza ni sawa na ambacho wewe umeongea

Pia mimi sijakupinga kwa chochote bali nimempa maelezo mkuu hapo juu kuwa asiogope kununua maeneo as long as yamepimwa Au kama hayaja pimwa basi ahakikishe yapo kwenye town plan

one luv ... xfactor kula gwalaa pamoja sana..nmekuelewa mkuu
 
Last edited by a moderator:
Acheni ujinga nyie watu wananunua viwanja na wanajenga...kama kawa..huo mradi wao wa kusuasua ambao haujulikani ni lini..kwanza ulishaexpire mda sana.. Inshort hakuna mradi ambao wananchi wamepigwa stop order kigamboni. Tatizo la watanzania waweza kuambiwa mradi wa miaka 80 ijayo mijitu ikapunic eti inaogopa hasara. Huu mradi si wa siku moja kama ilivyo mtaa. Huu mradi ni mkubwa na inahitaji pesa za kutosha. Kuwalipa watu fidia. Na mradi huu si wa serikali ni wawekezaji. Kati ya marekani na china. Amka mtanzania utaogopa ardhi yako paka lini..... Kumbuka serikali ni mwananchi na si kikwete na watu wake ambao wapo kwa kura zetu. Mtakuwa mambumbu paka lini...agrrrrrrr yaani nakereka tena tungekuwa na msimamo tungewashtaki maana watu walishindwa kujenga wengine walikopa mabank ...sasa paka leo yapata miaka 6 hakuna hata dalili...halafu bado mnaogopa kujenga. Wenye akili wanajenga ,mambulula yatabakia kusema ovyo. Nimemaliza.
ni kweli chief ukisema usubirie serikalI ifanye miradi yake itachukuaaa miakaaaa na miakaaa
 
Tatizo watu wamekariri Kigamboni kumeuzwa, hawajui hata huko kuuzwa kama kwei kupo basi kunaanzia wapi mpaka wapi, wala hawajui maana ya Kiwanja kua KIMEPIMWA! !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom