Nauza kiwanja changu Kigamboni

Nauza kiwanja changu Kigamboni

karibuni karibuni sana......
 
Square metre 1700 @ 10,000 = 17,000,000 Tsh.

Hivi Tanzania tuna system inayotoa bei elekezi za viwanja?
Imekua ni katabia ka watu ku-inflate bei za viwanja (not specifically this particular one but it has been the general trend)
 
Square metre 1700 @ 10,000 = 17,000,000 Tsh.

Hivi Tanzania tuna system inayotoa bei elekezi za viwanja?
Imekua ni katabia ka watu ku-inflate bei za viwanja (not specifically this particular one but it has been the general trend)

usishangae bei hiyo mkuu ukubwa wa kiwanjaa hicho je ukikikuta mbweni jkt au ununio si utaumizaaa kichwaaa kabisa....bei iko fair kabisa kwa mtu anayetaka na kujuaaa umuhimu wa kiwanjaaa mkuu.karibuuu sanaa
 
Validity ya Stopping order ni miaka mi4 tangu siku ilipotangazwa kwahiyo ili expire 2012 au kama walitangaza tena 2012 itakuwa validy ila kama hawakutangaza tena basi ruksa kujenga kigamboni.
 
karibuni karibuni kigamboni.....viwanja hivyo haviko mbali na protea amani hotel ukiensa kushoto unakwenda changani beach...weekend ni bata tu huko
 
karibuni karibuni kigamboni.....viwanja hivyo haviko mbali na protea amani hotel ukiensa kushoto unakwenda changani beach...weekend ni bata tu huko

Unafika kwenye kiwanja cha ndege kile? Au huku mwanzoni?
 
Unafika kwenye kiwanja cha ndege kile? Au huku mwanzoni?

nyuma kidogo mkuu ila syo mbali na hapo kwenye kiwanja cha ndege...ni pale kwenye bango kubwa la avc upande wa kulia.. kingkong
 
Last edited by a moderator:
usishangae bei hiyo mkuu ukubwa wa kiwanjaa hicho je ukikikuta mbweni jkt au ununio si utaumizaaa kichwaaa kabisa....bei iko fair kabisa kwa mtu anayetaka na kujuaaa umuhimu wa kiwanjaaa mkuu.karibuuu sanaa

Kikiwepo mpaka tarehe 24 nitakichukua.
 
.. Nyamglu karibu sana
 
Last edited by a moderator:
kiwanja bado kipo karibuni wadauuuuuu......
 
karibuni bado kiwanja kipo.....
 
kiwanjaaa kipo wakuuuu......naona hela zimekimbia nini au ndiyo mzunguko wa hela hakuna
 
haya lami iko mwembe mdogo muda si mrefu lami itafika hapo mfuruni amani gomvu
 
Kipo Kigamboni, amani gomvu
kiwanja kina ukubwa wa sqmt 1700
kiwanja kimepimwa na kina bicons kipo nyuma ya apaetmnts za sofia simba, sqmt 1 ni sh 10000, mazungumzo yapo..
akataye hitaji tuwasiliane kwa # 0715 591141
karibuni

Kina hati
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom