Nauza Kiwanja changu DSM,Mbezi Salasala- Kinzudi

Nauza Kiwanja changu DSM,Mbezi Salasala- Kinzudi

nickname

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2009
Posts
544
Reaction score
151
Nauza kiwanja changu ,kipo Dar es Salaam, Mbezi Salasala – Kinzudi. Unaweza kufika kupitia Mbuyuni(Bagamoyo road).

MAELEZO YA KIWANJA;

  • Kiko umbali wa mita 200 kutoka stendi ya daladala ya Kinzudi
  • Kiwanja ni tambarare na kina nguzo katika mipaka yake
  • Umeme na maji yako karibu
  • Ukubwa ni 33m-urefu kwa 22m-upana(33x22)
  • Barabara inafika hadi kwenye kiwanja
  • Kina hati ya serikali ya mtaa
  • Kinafaa kwa makazi na ujirani ni wa uhakika
  • Atakayewahi ndio atakayeuziwa fanya hima

BEI : SH 12M (Shilingi Milioni kumi na mbili maongezi yapo)
MAWASILIANO
EMAIL: davifrs@yahoo.com
SIMU : 0654167310 au 0716727303
 
Kutoka Mbuyuni hadi kwenye kiwanja ni kilomita ngapi mkuu?
 
Kutoka Mbuyuni hadi kwenye kiwanja ni Km 5
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom