Nauza kiwanja bei ya kutupa Mabwepande, Dsm

Nauza kiwanja bei ya kutupa Mabwepande, Dsm

albertt

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2013
Posts
339
Reaction score
78
kiwanja kipo kinondo mashariki ni baada ya madale karibia na mabwe pande kiwanja ni 20×20 bei ni mil 2 ninashida ya haraka na pesa kama upo serious nichek 0716385824
 
kiwanja kipo kinondo mashariki ni baada ya madale karibia na mabwe pande kiwanja ni 20×20 bei ni mil 2 ninashida ya haraka na pesa kama upo serious nichek 0716385824



Cha serikali!!!!?????
 
Aisee,kweli shida haina adabu,kiwanja rahisi namna hii.

Ni vile vya kikwete nini?

Pole Albert kwa matatizo ndio dunia,kama halijakukuta huwezi kujua,ila kwa sie tumeopitia shida za namna hiyo tunajua upo kwenye hali gani.Hapo ukiisha uza utaona wateja kibaoo

Mungu atakusimamia
 
Aisee,kweli shida haina adabu,kiwanja rahisi namna hii.

Ni vile vya kikwete nini?

Pole Albert kwa matatizo ndio dunia,kama halijakukuta huwezi kujua,ila kwa sie tumeopitia shida za namna hiyo tunajua upo kwenye hali gani.Hapo ukiisha uza utaona wateja kibaoo

Mungu atakusimamia

Kweli kabisa hata mimi nakumbuka nilipata matatizo ili kutatua niliuza kiwanja changu Mbezi kwa 3mil wakati nilinunua 5.5mil,,utapata mteja japokuwa watanzania ghali hatutaki pia rahisi hatutaki,hatueleweki
 
Vp mkuu nkikupa 1m?
Kama uko serious na hujapata mnunuz nchek pm tufanye biashara
 
kiwanja kipo kinondo mashariki ni baada ya madale karibia na mabwe pande kiwanja ni 20×20 bei ni mil 2 ninashida ya haraka na pesa kama upo serious nichek 0716385824

Mkuu kama haujapata mteja bado tuwasiliane nikupe 1.1m
 
Aisee,kweli shida haina adabu,kiwanja rahisi namna hii.

Ni vile vya kikwete nini?

Pole Albert kwa matatizo ndio dunia,kama halijakukuta huwezi kujua,ila kwa sie tumeopitia shida za namna hiyo tunajua upo kwenye hali gani.Hapo ukiisha uza utaona wateja kibaoo

Mungu atakusimamia

very encouraging
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom