Kaka hapa utapoteza muda Wadanganyika hawafundishiki,kila siku tunaimba kuhusu kuweka picha ya kitu kiuzwacho,pia kuweka bei na mahala muuzaji alipo pamoja na namba za simu lakini ni kazi buure ni kama kumpigia mbuzi gitaa
Kaka hapa utapoteza muda Wadanganyika hawafundishiki,kila siku tunaimba kuhusu kuweka picha ya kitu kiuzwacho,pia kuweka bei na mahala muuzaji alipo pamoja na namba za simu lakini ni kazi buure ni kama kumpigia mbuzi gitaa