Kisamvu napenda ila hayo madoido uliyoweka siyaelewi jaribu kutuelezea ingredients ili tujue kuwa si kisamvu tu bali na vikomboizo vingine. Mimi nami nipo M. Beach.
maelezo yako hayajitoshelezi, ongeza taarifa muhimu kwa mfano , mtu aliyepo mwenge ama mbagala ama sehemu nyingine yeyote akihitaji utaratibu ukoje, bei yako ni kiasi gani, na hivyo vitu vingine ulivyoongeza ni vitu gani na ni kwa sababu zipi nk
Tuache kuchezeana akili bwana, hiki kisamvu gani? Tunataka kisamvu cha asili tupekue wenyewe huku tukishikisha watu ukuta ama vitanda, alaaaaa. Wewe inabidi upigwe ban mara moja, yaani unatudanganya hivi hivi bila haibu?