Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,119
- 7,950
Bei?

Jana nilikuwa Tarime mjini kwenye baa moja hivi nikaagiza mbuzi choma nikaletewa na nusu lita ya kichuri ilibidi niinywe kana juice tu, maana huku hatuna juice za maana.Wanaume wa mkoani tunakunywa juice ya pilipili na mwarubaini
Mkuu unataka kujua anapopatikana yeye au juice.Wapi unapatikana aisee?
Anakuja.Gharama
Mahali inapopatikana
Njia za kumfikia mhudumu/mhudumiwa?
Mawasiliano
Kaenda wapi maana huku koromije tumezoea juice za aloe velaAnakuja.
Hahahaaa mkuu umenikumbusha alovera ni mwisho wa vidume, tena ile pure ya kijijini unakata jani lake unaliinamisha kwenye bakuli then unakunywa.Kaenda wapi maana huku koromije tumezoea juice za aloe vela