Nimkimbilie nani
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 6,204
- 6,550
Ushakula ban lako saafiKamuuzie mama yako mkuu
Ushakula ban lako saafiKamuuzie mama yako mkuu
Pole sana...ndo maisha yalivyo,yana mchanganyiko wa watu na viatu.Daaaaaah nimejiskia vibaya sanaa.
Silence is a better reply to a fool.Sasa dada angu hapa uliitwa labda? Kwanini unakua mjinga wa kiasi iki? Mim nimekukosea nini? Nakujua? Unanijua? Dada angu sijapenda kabisa kauli zako za kipuuzi kama hizi. Anyway endelea kutukana watu tu mitandaoni ila siku ya siku unakuta ni baba zako sijui utafanyaje.
That's business; ongea ukiona maslahi mufanye biashara.unavyotuambia laki sita unaona ni.ndogo sana au yan laki sita ni sawa na bure!?
ID fake zisikufanye ukajisahau humu unaweza mtukana ndugu yako au mzazi wakoKamuuzie mama yako mkuu
Kamuuzie mama yako mkuu
Wewe Unataka iphone yenye storage ngapi?Weka picha hapa na tuambie storage yake.
Ukute kamtukana kaka yskeID fake zisikufanye ukajisahau humu unaweza mtukana ndugu yako au mzazi wako
Hakika akili hanaWewe jamaa mbona sio mstaarabu