Mkuu uko vizuri..kwa gari la kifahari kama hili unaliona linakugasi...i cant imagine yako mengine ya namna gani. hii gari sio ya shilingi moja.nadhani ushuru wako nitavuta escudo kadhaa tena za miaka ya karibuni. kiukweli ukimiliki huu mkoko unatakiwa usiwe na vihela vya mawazo...uhusiano wako na wauza mafuta vituoni uwe wa karibu. HONGERA kamanda
cc 5500 na hizi foleni balaa ya kwangu chevlolet suv cc 3500 huwa naitumia jumapili na kwa safari za mbali tu sasa hiyo ya cc 5500 labda uwende nayo Libya ambako fuel ni sh 450 za Tz.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.