Nauza hizi smartphones

Nauza hizi smartphones

Old Skuli

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2012
Posts
690
Reaction score
178
BLACKBERRY Z10 MPYA
BEI 700000

ITEL 1450(inote beyond) mpya
BEI 150000

NICHEKI 0752385949

Z100000.jpg inote.jpg
 
kumbe laki 7 ya hyo blackbery ukiongezea laki tatu inaitwa MILLION MOKO? waaaaoo kumbe watz matajiri eeeh Simu lak 7 Lol..... haya mkuu kila la kheri najua unauza smart 4n unataka kufuga mradi wa kuku..kaz kwa wanunuaji...lak 7 lol!! bibi yangu bado yupo kwenye nyumba ya udongo paa manyasi fensi makuti
 
kumbe laki 7 ya hyo blackbery ukiongezea laki tatu inaitwa MILLION MOKO? waaaaoo kumbe watz matajiri eeeh Simu lak 7 Lol..... haya mkuu kila la kheri najua unauza smart 4n unataka kufuga mradi wa kuku..kaz kwa wanunuaji...lak 7 lol!! bibi yangu bado yupo kwenye nyumba ya udongo paa manyasi fensi makuti
Mkuu mbona umepanic kusikia sim laki7? Kuna watu wanamiliki nyumba za milioni 600, gari la m200, we unashangaa sim? Isitoshe kuna watu wanapokea mshahara laki saba then wanainywea pombe yote.. Hao huwashangai?
 
kumbe laki 7 ya hyo blackbery ukiongezea laki tatu inaitwa MILLION MOKO? waaaaoo kumbe watz matajiri eeeh Simu lak 7 Lol..... haya mkuu kila la kheri najua unauza smart 4n unataka kufuga mradi wa kuku..kaz kwa wanunuaji...lak 7 lol!! bibi yangu bado yupo kwenye nyumba ya udongo paa manyasi fensi makuti

wewe huyohuyo ambaye bibi yako bado yupo kwenye nyumba ya makuti unavaa viatu vya elfu 20, shati elfu 10, suruwali elf15, halafu ukitoka na demu wako guest mnalipa elf10, vinywaji elf15, na unampa elfu20 ya nauli, unajua mpaka hapo unakuwa umetumia pesa ya bati ngapi?!!! nachotaka kukuonesha ni kwamba, maisha yanatofautiana, unachoona ghali wewe kwa mwenzako ni too cheap; hata wali unaokula kwa wengine ni anasa.
 
kumbe laki 7 ya hyo blackbery ukiongezea laki tatu inaitwa MILLION MOKO? waaaaoo kumbe watz matajiri eeeh Simu lak 7 Lol..... haya mkuu kila la kheri najua unauza smart 4n unataka kufuga mradi wa kuku..kaz kwa wanunuaji...lak 7 lol!! bibi yangu bado yupo kwenye nyumba ya udongo paa manyasi fensi makuti

Hatuwezi kuwa on the same Key,anasa kwako kwa wengine ni maisha ya kawaida!
 
wewe huyohuyo ambaye bibi yako bado yupo kwenye nyumba ya makuti unavaa viatu vya elfu 20, shati elfu 10, suruwali elf15, halafu ukitoka na demu wako guest mnalipa elf10, vinywaji elf15, na unampa elfu20 ya nauli, unajua mpaka hapo unakuwa umetumia pesa ya bati ngapi?!!! nachotaka kukuonesha ni kwamba, maisha yanatofautiana, unachoona ghali wewe kwa mwenzako ni too cheap; hata wali unaokula kwa wengine ni anasa.

umemjibu nlichotaka kumjibu..Asante mkuu!!
 
wewe huyohuyo ambaye bibi yako bado yupo kwenye nyumba ya makuti unavaa viatu vya elfu 20, shati elfu 10, suruwali elf15, halafu ukitoka na demu wako guest mnalipa elf10, vinywaji elf15, na unampa elfu20 ya nauli, unajua mpaka hapo unakuwa umetumia pesa ya bati ngapi?!!! nachotaka kukuonesha ni kwamba, maisha yanatofautiana, unachoona ghali wewe kwa mwenzako ni too cheap; hata wali unaokula kwa wengine ni anasa.

Hatuwezi kuwa on the same Key,anasa kwako kwa wengine ni maisha ya kawaida!
10171025_229374223930706_6744366262733044201_n.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom