masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 15,663
- 12,328
- Thread starter
- #21
Hahahahhahahahahah nilijua utanikamata mhaya wa watu
hahahaa poulee
Hahahahhahahahahah nilijua utanikamata mhaya wa watu
kwa taarifa yako huwezi pata pesa nzuri kwa kuuza dhahabu iliyovaliwa. normaly ni busu bei. habari ndio hiyo
Kuna jamaa anauliza hapa, umeziiba wapi? Anataka kumnunulia mkewe ila anaogopa damu za mwenye hizo heleni kumrudi mkewe. Anaomba ufafanuzi kama ni za wizi aachane na kukutafuta.
hahhhaha nimeiba k.koo
sijaua ila nimejeruhi