NAUZA HEKA MOJA MIL30 TABATA KINYEREZI

NAUZA HEKA MOJA MIL30 TABATA KINYEREZI

dbelive

Member
Joined
Feb 27, 2014
Posts
26
Reaction score
3
Nauza kiwanja heka moja kipo tabata kinyerezi ukishuka magengeni au sitendi ya zamani kwa dala dala kutoka stendi mpaka kwenye kiwanja ni kilomita 1 au kwa miguu dakika 25 na gari dakika 7 na kuna barabara mpaka kwenye kiwanja.vinavyopatikana kwenye kiwanja umeme,miti ya miembe 3,minazi 3 na ukichimba kisima maji yapo karibu, kiwanja hakina milima kipo flati bei mil 30 na taratibu za upimaji hazikukamilika ila majirani wamepima mawasiliano 0714 11 44 53
IMAG1109.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nauza kiwanja heka moja kipo tabata kinyerezi ukishuka magengeni au sitendi ya zamani kwa dala dala kutoka stendi mpaka kwenye kiwanja ni kilomita 1 au kwa miguu dakika 25 na gari dakika 7 na kuna barabara mpaka kwenye kiwanja.vinavyopatikana kwenye kiwanja umeme,miti ya miembe 3,minazi 3 na ukichimba kisima maji yapo karibu, kiwanja hakina milima kipo flati bei mil 30 na taratibu za upimaji hazikukamilika ila majirani wamepima mawasiliano 0714 11 44 53View attachment 573891

Sent using Jamii Forums mobile app

Mwanangu bei imetulia kweli kweli, sijui kwa zama hizi kama utampata mnunuzi.
 
Kwa Usawa Huu km unauzia rahaa kweli Kama shida utasubiri Sana.
 
Nauza kiwanja heka moja kipo tabata kinyerezi ukishuka magengeni au sitendi ya zamani kwa dala dala kutoka stendi mpaka kwenye kiwanja ni kilomita 1 au kwa miguu dakika 25 na gari dakika 7 na kuna barabara mpaka kwenye kiwanja.vinavyopatikana kwenye kiwanja umeme,miti ya miembe 3,minazi 3 na ukichimba kisima maji yapo karibu, kiwanja hakina milima kipo flati bei mil 30 na taratibu za upimaji hazikukamilika ila majirani wamepima mawasiliano 0714 11 44 53View attachment 573891

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hiki kiwanja bado kipo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom