Nauza Halotel Moderm 35 elfu tu!

Nauza Halotel Moderm 35 elfu tu!

inzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2016
Posts
296
Reaction score
285
Inasehemu ya kuweka memory card, iko faster mtandaoni pia bado mpya na ipo kwenye hali nzuri kabisa. 20,000/=
1475741599870.jpg
1475741609938.jpg
1475741621074.jpg
ni PM tuwasiliane
 
35 ni bei ya dukani....chukua 15 faster hata sasa hivi tuonane kwa 0687 08 99 80...
 
Dogo usijaze watu bhana...chukua 15 tumalizane kabla haijaingia kwenye program nyingine.
 
unapomamalizia na neno "tu" unamaanisha unaona ni bei rahs sana au lugha ya biashara tanzania!!!!!!!!?
Biashara haitaji maneno magumu natakiwa nikushawishi wewe ununue bidhaa yangu, nitakushawishi vipi kama nikitumia lugha ngumu
 
Siku hizi modem tupa kule!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Tethering & portable hot sport ndio mpango mzima. niliahakuwa na furushi za modem mpaka njyingine line huwezi kubadilisha imejengewa ndani kwa ndani lakini sasa nakula bata tuu mtandao niupendao
 
Back
Top Bottom