Nauza gari

unauza gari moja au una magari mengi?
we ni mzee wa cha juu (dalali) au direct business man?
 
Mimi nataka bedford ya mwaka 1977 yenye bodi pana engine CODE: LX120 zile zenye taa ndogo. Yenye gia 12. Nikipata ile ya tani saba na isiwe tipa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom