Jamani wadau,, nauza simu yangu galaxy s3..inatatizo moja tu,, haitoi sauti..ili tokea baada ya ku update operating system kumbe os nilioitumia sio ya model hii..yangu ni GT-i9300..ila kwa sasa nimenunua htc one..kama kuna mtu interested anishtue..bei ni 350, 000
Mkuu hapo umeenda chini sana...fanya laki 3 basi...hiyo 250 noma
Jamani wadau,, nauza simu yangu galaxy s3..inatatizo moja tu,, haitoi sauti..ili tokea baada ya ku update operating system kumbe os nilioitumia sio ya model hii..yangu ni GT-i9300..ila kwa sasa nimenunua htc one..kama kuna mtu interested anishtue..bei ni 350, 000
Nitumie picha kwa whassap 0655090000
unapatikana wapi mkuuJamani wadau,, nauza simu yangu galaxy s3..inatatizo moja tu,, haitoi sauti..ili tokea baada ya ku update operating system kumbe os nilioitumia sio ya model hii..yangu ni GT-i9300..ila kwa sasa nimenunua htc one..kama kuna mtu interested anishtue..bei ni 350, 000
unapatikana wapi mkuu
kwa sababu umetangaza humu, basi tuwekee picha humu, screen shots nk pamoja na specifications hasa kama kuna apps ambazo ni za kipekee ulizoziweka. wengi tupo interested. nipo dom but next week naja dar kutafuta cm bomba
Whatsapp me the pics 0784393988