Nauza flat screen, fridge na microwave.

Nauza flat screen, fridge na microwave.

teflon_1880

Member
Joined
Jun 14, 2016
Posts
49
Reaction score
12
Habari
Nauza vitu vifuatavyo vina upya wake na kila accessories zake zilizokuja navyo kutoka dukani

Samsung Smart Flat Screen inch 40 kwa Tshs. 1.3M

Fridge westpoint kwa Tshs. 650,000/=

Microwave kwa 150,000/=

Mwenye Uhitaji naomba nicheck inbox tufanye biashara napatikana Dar es salaam.

upload_2018-3-13_23-2-31.jpeg


upload_2018-3-13_23-2-46.jpeg


upload_2018-3-13_23-2-59.jpeg
 
Shusha bei fridge hiyo nichukue, nitolee 500,000 nikupe 6,000,000
 
Nahitaji fridge, niko Arusha, natoa laki nne chap, kama uko tayari njoo inbox
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom