Nauza Dumbell za mazoezi

Nauza Dumbell za mazoezi

October man

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2017
Posts
3,632
Reaction score
5,023
Nauza Bumbell za mazoezi

KG 4 bei 40,000/=
KG 8 bei 45,000/=

Material chuma laini.

Faida/Kazi yake

1)Unatimia kwa mazoezi hasa ya mkono kujaza mkono (Biceps na Triceps)
2)zinapunguza mkono (nyama uzenge za mkono) kwa wanawake
2)zinakata tumbo/punguza tumbo nakutengeneza Sixpacks(ABS) au tumbo flat lisio kitambi.
3)zinatengeneza Wings (mbawa za mikono) hapa unakuwa na V-shaped body.
4)inatengeneza Shoulder
5)zinatengeneza miguu yaani kupiga kama skwashi nk

Inategemea jinsi utavyozinyanyua ndio utakuwa unatengeneza sehemu husika ya mwili.

Ila unaweza kufanyia mazoezi ili kupunguza mafuta tu na kutokuongeneza chochote inategemea na unavyopiga pia.

IMG_20200120_130452.jpeg


IMG_20200120_130501.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
hongera kwa ubunifu

Sent from my SM-J700H using Tapatalk
 
Nauza Bumbell za mazoezi

KG 4 bei 40,000/=
KG 8 bei 45,000/=

Material chuma laini.

Faida/Kazi yake

1)Unatimia kwa mazoezi hasa ya mkono kujaza mkono (Biceps na Triceps)
2)zinapunguza mkono (nyama uzenge za mkono) kwa wanawake
2)zinakata tumbo/punguza tumbo nakutengeneza Sixpacks(ABS) au tumbo flat lisio kitambi.
3)zinatengeneza Wings (mbawa za mikono) hapa unakuwa na V-shaped body.
4)inatengeneza Shoulder
5)zinatengeneza miguu yaani kupiga kama skwashi nk

Inategemea jinsi utavyozinyanyua ndio utakuwa unatengeneza sehemu husika ya mwili.

Ila unaweza kufanyia mazoezi ili kupunguza mafuta tu na kutokuongeneza chochote inategemea na unavyopiga pia.

View attachment 1328876

View attachment 1328877

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huna uzito mkubwa zaidi ya hizo?
 
Back
Top Bottom